مهدويت | Mahdawiyat
Ubora wa Lailatul-Qadr
UMUHIMU WA KUFAHAMU QUR_ANI
SAYYIDAT ZAINABUL-KUBRA (A.S).
BIBI ZAINAB (A.S)
GHADIR KHUM

NIDHAMU YA UONGOZI
2017-09-13
Makala zinazohusiana
-
YENYE KUHATARISHA NYUMBA (5 )
2018-02-21 -
YENYE KUHATARISHA NYUMBA (7 )
2018-02-21
NIDHAMU YA UONGOZI KATIKA KUMSUBIRI IMAM MAHDI (A.S)
Hakuna shaka kua tokeo hili iko siku litatokea na matumaini ya kua iko siku Ulimwengu utakua chini ya mikono ya kiongozi wa kidini, jambo hili basi linatakiwa kua ni changa moto ya kuweza kuwafanya viongozi wawe na mtizamo wa kuuwelekeza ulimwengu katika nidhamu ilio bora.
NIDHAMU YA UONGOZI KATIKA KUMSUBIRI IMAM MAHDI (A.S)
Hakuna shaka kua tokeo hili iko siku litatokea na matumaini ya kua iko siku Ulimwengu utakua chini ya mikono ya kiongozi wa kidini, jambo hili basi linatakiwa kuni ni changa moto ya kuweza kuwafanya viongozi wawe na mtizamo wa kuuwelekeza ulimwengu katika nidhamu ilio bora kwani kufanya hivyo kutamsaidia kumpa urahisi yule kiongozi wa kiisalmu atakaekuja baadae kwa hiyo basi Waislamu wanatakiwa kua na uangalifu katika kutekeleza nyadhifa zao ili waweze kulisukuma
kurudumu la matumaini mbele zaidi, na hili ndio lengo la watu wenye akili katika kila jamii. Kila mtu mtu ana malengo katika akili yake, na mwenye akili zaidi ni yule mwenye kuyatekeleza malengo yake kimatendo na jee hivi kuna malengo bora raidi katika jamii yetu ya kiislamu kuliko kuleta uadilifu na mipango mema katika jamii?
Bila shaka uongozi utakua kwenye mikono ya Waumini hivi karibuni kwani hhiyo ni ahadi alioitoa Mola wete pale aliposema (Mwenye enzi Mungu amewaahidi walioamini miongoni mwenu na wale wenye kutenda mema kua atawafanya wao kua ndio Makhalifa katika ardhi kama alivyowafanya wale Waumini waliopita kabla yao na atawasimamishia Dini yao ambayo Mola wao ameiridhia na atawaondolea khofu
na kuwaletea amini wawe wananiabudu mimi na wala hawanishirikishi na kitu chochote kile, basi watakaokufuru baada ya hapo, hao basi ndio mafasiki (wapotovu)).
Acha Maoni
-
Usiku wa Lailatul-Qadr
2018-04-09 -
Ubora wa Lailatul-Qadr
2018-04-09 -
-
-
UMUHIMU WA KUFAHAMU QUR_ANI
2018-04-04 -
-
SAYYIDAT ZAINABUL-KUBRA (A.S).
2018-04-03 -
BIBI ZAINAB (A.S)
2018-04-03 -
GHADIR KHUM
2018-04-01 -
-
SEHEMU YA PILI MAHDI NI NANI ?
2017-05-14 -
MAHDI (A.S) (3)
2017-05-14 -
SEHEMU YA PILI
2017-05-14 -
MAELEZO KWA UFUPI KUHUSIANA NA IMAM MAHDI
2017-05-14 -
MAHDI MTARAJIWA KATI YA TASWAWWUR NA TASDIQ
2017-05-14 -
NIDHAMU YA UONGOZI
2017-09-13 -
-
UIMAMU NDANI YA RIWAYA ZA AHLUL BAIT
2017-05-14 -
-
-
-
FATIMA (A.S) NDIYE KIGEZO
2018-02-01 -
HAKUNA FUNGAMANO KATIKA HILA
2018-01-24 -
FUNGAMANO LA NASABU SIKU YA KIAMA
2018-01-24 -
VITUO VYA KIAMA KWA WAUMINI NA WAOVU
2018-01-08 -
UMUHIMU WA DINI KATIKA JAMII
2018-01-08 -
IMAM RIZA (A.S)
2018-01-08 -
-
-
NAFASI YA FATIMA (A.S)
2018-02-01
maoni